IQNA

Bango | Kwa Neno la Siri “Ya Hussein (AS)” Tumepata Ushindi

Kama si tukio la Karbala na kuiga mfano wa mashujaa wake, Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran yasingalipata ushindi. [Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu; 26 Juni 1993]

با رمز یاحسین(ع) پیروز شدیم